Kidagbani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kidagbani ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Ghana inayozungumzwa na Wadagbani. Mwaka wa 2004 idadi ya wasemaji wa Kidagbani imehesabiwa kuwa watu 800,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kidagbani iko katika kundi la Kigur.
Viungo vya nje
- lugha ya Kidagbani kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kidagbani
- lugha ya Kidagbani katika Glottolog
- http://www.ethnologue.com/language/dag
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kidagbani kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.