From Wikipedia, the free encyclopedia
Jun Endo (alizaliwa 24 Mei 2000) ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Japani ambaye anacheza kama kiungo mshambuliaji wa klabu ya Angel City FC inayoshiriki ligi ya Wanawake (NWSL) pamoja na timu ya taifa ya wanawake ya Japan. Mwanzoni alichezea klabu ya wanawake ya Nippon TV Beleza huko Nadeshiko na ilishinda michuano ya Women's Club Championship (AFC) mnamo 2019.[1]
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.