Juhudi (kutoka neno la Kiarabu juhudجهود) ni matumizi makubwa ya akili, ujuzi, maarifa na nguvu ili kujipatia maendeleo ya kiroho, ya kiuchumi n.k.
Dini nyingi zinahimiza juhudi katika maadili na maisha ya kiroho.
Tanbihi
Marejeo
Marejeo mengine
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.