James Rothman

From Wikipedia, the free encyclopedia

James Rothman

James Rothman (amezaliwa 3 Novemba, 1950) ni mwanabiolojia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza seli na mawasiliano yake. Mwaka wa 2013, pamoja na Randy Schekman na Thomas Südhof, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu James Rothman kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
James Rothman akipokea zawadi kutoka kwa mfalme wa Sweden

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.