From Wikipedia, the free encyclopedia
Hira (kwa Kiarabu: حراء Ḥirāʾ) au Pango la Hira (غار حراء Ġār Ḥirāʾ) ni pango lililopo karibu na mji wa Makka, kwenye Jabal an-Nūr, kanda ya Hejaz ya Saudi Arabia ya leo. Pango peke yake lina eneo la m 4 na urefu wa m 1.75 kwa mapana[1].
Linafahamika zaidi na Waislamu kwa kuwa sehemu ambao mtume Muhammad amepokea aya ya kwanza kutoka kwa Mwenyezi Mungu (Allah) kupitia malaika wake Jibril[1].
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.