Hafidh Ameir

From Wikipedia, the free encyclopedia

Hafidh Ameir ni mume wa rais wa sita wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan akiwa na asili ya visiwani Zanzibar.

Hafidh ni mtaalamu mstaafu wa masuala ya kilimo [1] na walifunga ndoa na Mama Samia mwaka 1978 [2] na wamejaaliwa kupata watoto wanne [3]; mmojawao, Wanu Hafidh Ameir, ni mwanasiasa kama mama yake [4] [5] na mjumbe wa Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.