Gregori wa Langres

From Wikipedia, the free encyclopedia

Gregori wa Langres (446 hivi – 539) alikuwa mtawala wa Autun, huko Ufaransa.

Baada ya kufiwa mke wake, akawa askofu wa Langres tangu mwaka 506 hadi kifo chake.

Gregori wa Tours alikuwa kitukuu wake.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni 4 Januari[1].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.