Gregori wa Langres
From Wikipedia, the free encyclopedia
Gregori wa Langres (446 hivi – 539) alikuwa mtawala wa Autun, huko Ufaransa.
Baada ya kufiwa mke wake, akawa askofu wa Langres tangu mwaka 506 hadi kifo chake.
Gregori wa Tours alikuwa kitukuu wake.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.