Ngagi ni wanyama wakubwa wa jenasi Gorilla katika familia Hominidae. Ngagi wanaishi katika maeneo ya tropiki ya Afrika.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Ngagi
Thumb
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota (Viumbe walio na seli zenye kiini)
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Nusuoda: Haplorrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na kima)
Oda ya chini: Simiiformes (Wanyama kama kima)
Familia ya juu: Hominoidea (Masokwe)
Familia: Hominidae (Masokwe wakubwa)
Nusufamilia: Homininae
Kabila: Gorillini
Jenasi: Gorilla (Ngagi)
I. Geoffroy, 1852
Ngazi za chini

Spishi 2:

  • G. beringei Matschie, 1903
  • G. gorilla Savage, 1847
Thumb
Msambao wa spishi za ngagi: nyekundu - G. gorilla, njano - G. beringei
Funga

Spishi

Picha

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.