George Mcheche Masaju

From Wikipedia, the free encyclopedia

George Mcheche Masaju ni mwanasheria wa nchini Tanzania. Mwaka 2015 aliteuliwa na rais Jakaya Kikwete kuwa Mwanasheria Mkuu wa nchi akaendelea katika nafasi hii baada ya kuingia kwa raisi mpya John Magufuli.[1][2]

Masaju alikuwa mshauri wa kisheria katika ofisi ya raisi kabla ya kuwa naibu mwanasheria mkuu mwaka 2009. [3] . Kutoka hapo alipanda cheo baada ya kujiuzulu kwa mwanasharia mkuu aliyetangulia.

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.