Eva

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eva

Eva ni jina la mwanamke wa kwanza kadiri ya Biblia. Maana yake inafikiriwa kuhusiana na uhai: mama wa walio hai.

Thumb
Eva akiinama kula tunda, alivyochongwa na Gislebertus upande wa nje wa kanisa kuu la Autun, Ufaransa.

Kanisa Katoliki linamheshimu kama mtakatifu tarehe 24 Desemba[1].

Umaarufu wake umeongezeka tena hivi karibuni, baada ya upimaji wa DNA ya mviringo kuthibitisha kwamba binadamu wote wanatokana na mama mmoja.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.