Eva
From Wikipedia, the free encyclopedia
Eva ni jina la mwanamke wa kwanza kadiri ya Biblia. Maana yake inafikiriwa kuhusiana na uhai: mama wa walio hai.
Kanisa Katoliki linamheshimu kama mtakatifu tarehe 24 Desemba[1].
Umaarufu wake umeongezeka tena hivi karibuni, baada ya upimaji wa DNA ya mviringo kuthibitisha kwamba binadamu wote wanatokana na mama mmoja.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.