Elamu
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Elamu ilikuwa ustaarabu wa kale mashariki mwa Mesopotamia. Elam ilienea katika magharibi na kusini-magharibi mwa Iran ya sasa, pamoja na sehemu ndogo ya kusini mwa Iraki. [1]
Mji muhimu zaidi ulikuwa Shushani; kwa karne kadhaa mji mkuu ulikuwa Dur-Untash kilomita 40 kusini mwa Shushani.
Historia ya Elamu inajulikana kwa sehemu tu. Ilidumu zaidi ya milenia 2. Wataalamu hugawa historia hiyo kwa vipindi vifuatavyo:
Rekodi zilizoandikwa huanza kutoka karibu 3000 KK katika kipindi cha Waelami wa Kale (Zama za Shaba ya Kati). Katika Milki ya Waakhameni lugha ya Kielamu ilikuwa miongoni mwa lugha zilizotumika rasmi. Lugha ya Kielamu haina uhusiano unaoeleweka na nyingine yoyote.
Waelamu waliita nchi yao "Haltamti", lakini Wasumeri na Waakadia waliiita Elamu, na ndivyo ilivyoitwa pia katika Biblia ya Kiebrania.
Ustaarabu wa Elamu ulianza karibu 2700 BC, na hatimaye walishindwa na Waakhameni mnamo 640 KK. Kibao kilichopatikana mwaka wa 1848 kina mfalme wa Ashuru Ashurbanipal akijigamba juu ya ushindi wake:
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.