Diodi
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Diodi ni kijenzi au kiambajengo elektroniki muhimu. Inafanya kazi kama valvu ya umeme ikiruhusu mkondo wa umeme kutiririka kuelekea upande mmoja tu.
Diodi hutumiwa kubadilisha mkondo geu (AC) kuwa mkondo mnyovu (DC). Zinapatikana mara nyingi katika mitambo ya kutolea umeme kama vile ugawi wa umeme wa kompyuta. Kwa ndani vijenzi vya kompyuta hutumia mkondo mnyofu lakini umeme kutoka nje ni mkondo geu unaohitaji kubadilishwa, kazi inayofanya na diodo katika ugawi wa umeme.[1][2][3]]]
Siku hizi diodi hutumiwa zaidi na zaidi kwa umbo la diodi itoayo nuru (LED) ambazo siku hizi zinatumiwa katika taa kwa matumizi kidogo cha nishati kuliko taa za kawaida.
Siku hizi diodi hutengenezwa kwa kutumia dutu za nusu kipitishi (ing. semiconductor) kama vile silikoni au germani.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.