From Wikipedia, the free encyclopedia
Brito (alifariki 386) alikuwa askofu wa mji huo[1][2][3] wa Galia, leo nchini Ujerumani) kuanzia mwaka 374 hadi kifo chake.
Kama watangulizi wake alipigania imani sahihi; alisimama dhidi ya Waprisiliani lakini alijitahidi bure, pamoja na Ambrosi na Hilari wa Poitiers, kuzuia wasiwaue na watu wakatili [4].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.