Apoloni na Filemoni (walifariki karibu na Antinoe, 307 hivi) walikuwa Wakristo wa Misri waliofia imani yao wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian.

Apoloni alikuwa mmonaki shemasi, kumbe Filemoni alikuwa mwanamuziki aliyemtukana na kumdhihaki. Kwa kuona alivyojibiwa kila mara kwa upole na wema aliongokea Ukristo na kujitambulisha kwa hakimu. Hatimaye waliuawa pamoja.

Wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao inaadhimishwa kila mwaka tarehe 8 Machi[1][2].

Tazama pia

Tanbihi

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.