From Wikipedia, the free encyclopedia
Alois Batis na wenzake (majina kamili kwa Kihispania: Luis Bátis Sáinz, Emanuel Morales, Salvatore Lara Puente, David Roldán Lara; waliuawa Chalchihuites, Durango, 15 Agosti 1926) walikuwa Wakristo wa Meksiko waliouawa bila kesi wakati wa Vita vya Wakristero[1].
Alois alikuwa padri wa Kanisa Katoliki, wengine walei.
Papa Yohane Paulo II aliwatangaza wenye heri tarehe 22 Novemba 1992 halafu watakatifu wafiadini tarehe 21 Mei 2000 pamoja na wenzao 21 waliofia dini katika vita hivyo[2]:
Sikukuu yao inaadhimishwa kila tarehe 21 Mei ila ya kwao wenyewe ni tarehe ya kifodini chao[3].
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.