Ziwa Winnipeg (kwa Kiingereza: Lake Winnipeg; kwa Kifaransa: Lac Winnipeg) ni ziwa kubwa katika jimbo la Manitoba, Kanada. Liko kaskazini mwa mji wa Winnipeg . Ni ziwa kubwa zaidi katika kusini ya Canada.

Ukweli wa haraka
Ziwa Winnipeg
Thumb
Ziwa Winnipeg katika Kanada
Mahali 52°7′N 97°15′W
Nchi zinazopakana Kanada
Eneo la maji km2 24,514
Kina cha chini m 12
Mito inayoingia mto ya Winnipeg, Saskatchewan, Red
Mito inayotoka mto Nelson
Kimo cha uso wa maji
juu ya UB
m 217
Funga

Viungo vya Nje

Ukweli wa haraka
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Funga
Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ziwa Winnipeg kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.