Ziwa Chad ni ziwa kubwa lisilo na njia ya kutoka lenye kina kidogo katika kanda la Sahel, kando ya jangwa kubwa la Sahara, kule ambako nchi za Chad, Kamerun, Niger na Nigeria zinapopakana, hivi kwamba eneo lake limegawanywa kati ya nchi hizo. Ziwa Chad lina umuhimu mkubwa kwa uchumi wa watu milioni 68 katika nchi hizo nne.

Ukweli wa haraka Ziwa Chad ...
Ziwa Chad
Thumb
Picha za angani zinaonyesha kupungua kwa Ziwa Chad
Mahali Afrika ya Kati
Nchi zinazopakana Chad, Kamerun, Nigeria, Niger
Eneo la maji 1500 km²
Kina cha chini hadi 7 m
Mito inayoingia Chari, Komadugu, Logone
Mito inayotoka ---
Kimo cha uso wa maji
juu ya UB
m 240
Miji mikubwa ufukoni --
Funga

Beseni lake ni beseni kubwa le bara la Afrika. Hata hivyo, eneo la uso wake limebadilika katika mwendo wa karne zilizopita kutegemeana na kiasi cha maji lilichopokea na kiwango cha uvukizaji na matumizi ya maji yake.

Ziwa Chad lilipungua kwa asilimia 98 baina ya miaka 1963 na 1998 lakini picha za satelaiti za ESA zimeonyesha ya kwamba baada ya hapo limepanuka tena kiasi. [1]

Marejeo

Viungo vya nje

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.