From Wikipedia, the free encyclopedia
Zeno wa Verona (300 - 371) alikuwa askofu wa nane wa Verona (Italia) kuanzia mwaka 362.
Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Hakuna habari nyingi za hakika kuhusu maisha yake, lakini inaonekana alitokea Mauretania (Afrika kaskazini) akiwa msomi. Kwa juhudi na mahubiri yake alileta mji mzima kwenye imani na ubatizo.
Zimetufikia hotuba zake 16 ndefu na 77 fupi, zinazoonyesha alivyopambana na Upagani na uzushi wa Ario.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.