![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/66/Yerevan_Mount_Ararat.jpg/640px-Yerevan_Mount_Ararat.jpg&w=640&q=50)
Yerevan
From Wikipedia, the free encyclopedia
Yerevan (pia: Erevan, Erivan; kwa Kiarmenia: Երեւան au Երևան) ni mji mkuu na pia mji mkubwa wa Armenia.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/66/Yerevan_Mount_Ararat.jpg/320px-Yerevan_Mount_Ararat.jpg)
Idadi ya wakazi ni juu ya milioni moja (mwaka 2004).
Iko kando ya mto Hrazdan na kutazama mlima Ararat ambao ni mlima mtakatifu wa Waarmenia.
Mji ni wa kale: ulianzishwa kama boma la Erevuni katika milki ya Urartu mnamo 782 KK.