![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/af/Manuscript_arm_5-6AD.jpg/640px-Manuscript_arm_5-6AD.jpg&w=640&q=50)
Kiarmenia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kiarmenia ni lugha ya pekee katika jamii ya lugha za Kihindi-Kiulaya.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/af/Manuscript_arm_5-6AD.jpg/640px-Manuscript_arm_5-6AD.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/92/The_first_Bible_printed_in_the_Armenian_language.jpg/640px-The_first_Bible_printed_in_the_Armenian_language.jpg)
Kinatumiwa na watu milioni 6, hasa nchini Armenia (ambapo ni lugha rasmi) na kandokando yake.
Alfabeti yake maalumu ilibuniwa na Mesrop Mashtots mwaka 405.
Fasihi yake ina historia ndefu, ikianza na tafsiri ya Biblia ya karne ya 5.