Wilfred Moriasi Ombui
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Wilfred Ombui Moriasi ni mwanasiasa wa Kenya, mwanachama wa Chama cha KANU. Miaka 2009-2013 alikuwa mbunge akiwakilisha eneo bunge la Mugirango Kaskazini kwa tikiti ya Chama cha KANU[1]
Ombui alizaliwa katika kijiji cha Bonyunyu karibu na Kenyoro, Kata ya Itibo, Tarafa ya Ekerenyo, Wilaya ya Nyamira Mkoa wa Nyanza nchini Kenya
Alisoma katika Shule ya Msingi ya ELCK Kenyoro kabla ya kujiunga na Shule ya Upili ya Kisii.
Kando na kuwa mwalimu wa Shule ya Msingi, Ombui pia anajulikana na wengi kwa kuwa meneja wa Chama cha walimu cha Mwalimu SACCOS tawi la Gusii kwa muda Mrefu.
Alijitosa ulingoni mwa siasa kwa mara ya kwanza wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2007. Umaarufu wake ulizambaa haraka na akakishinda kiti hicho cha Ubunge huku akiwashinda wapinzani wake akiwemo mtangulizi wake Godfrey Okeri Masanya na Mwanasheria Joseph Kiangoi Ombasa.
Alitanguliwa na Godfrey Masanya Okeri |
Mbunge wa Mugirango Kaskazini 2007- |
Akafuatiwa na _ |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.