![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/72/Zou%25C3%25A9noula_Department_locator_map_C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire.jpg/640px-Zou%25C3%25A9noula_Department_locator_map_C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire.jpg&w=640&q=50)
Wilaya ya Zuénoula
Wilaya ya Cote d'Ivoire / From Wikipedia, the free encyclopedia
Wilaya ya Zuénoula (kwa Kifaransa: département de Zuénoula) ni moja kati ya Wilaya tatu za Mkoa wa Marahoué ulioko Magharibi mwa Cote d'Ivoire.
auto
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Wilaya ya Zuénoula | |
![]() |
|
Nchi | ![]() |
---|---|
Jimbo | Sassandra-Marahoué |
Mkoa | Marahoué |
Serikali[1] | |
- Prefect | Basile Niamkey |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 214,646 |
GMT | (UTC+0) |
Funga
Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 214,646.
Makao makuu ya eneo hilo ni Zuénoula.
Wilaya ya Zuénoula sasa imegawanywa katika tarafa zifuatazo: