![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/2/22/Vavoua_Department_locator_map_C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire.jpg/640px-Vavoua_Department_locator_map_C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire.jpg&w=640&q=50)
Wilaya ya Vavoua
Wilaya ya Cote d'Ivoire / From Wikipedia, the free encyclopedia
Wilaya ya Vavoua (kwa Kifaransa: département de Vavoua) ni moja kati ya Wilaya nne za Mkoa wa Haut-Sassandra ulioko Magharibi mwa Cote d'Ivoire.
auto
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Wilaya ya Vavoua | |
![]() |
|
Nchi | ![]() |
---|---|
Jimbo | Sassandra-Marahoué |
Mkoa | Haut-Sassandra |
Serikali[1] | |
- Prefect | N'Cho Pierre Nazaire M'Bassidjé |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 400,912 |
GMT | (UTC+0) |
Funga
Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 400,912.
Makao makuu ya eneo hilo ni Vavoua.
Wilaya ya Vavoua sasa imegawanywa katika tarafa zifuatazo: