Wichita, Kansas
From Wikipedia, the free encyclopedia
Wichita ni mji wa Marekani katika jimbo la Kansas. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2006, mji una wakazi wapatao 360,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 396 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Wichita | |||
| |||
Mahali pa mji wa Wichita katika Marekani |
|||
Majiranukta: 37°41′20″N 97°20′10″W | |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Kansas | ||
Wilaya | Sedgwick | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 361,420 | ||
Tovuti: www.wichita.gov |
Funga
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wichita, Kansas kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |