![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/61/0118_Chapati_backen.jpg/640px-0118_Chapati_backen.jpg&w=640&q=50)
Warangi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Warangi ni mojawapo kati ya makabila yanayopatikana katika wilaya ya Kondoa, mkoa wa Dodoma, mji ambao ndiyo makao makuu ya nchi ya Tanzania.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/61/0118_Chapati_backen.jpg/640px-0118_Chapati_backen.jpg)
Kirangi ndiyo hasa lugha ya Warangi, ambayo wao huiita Kilaangi.
Warangi wamegawanyika katika dini ya Uislamu na Ukristo, hasa wa Kanisa Katoliki.