![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/sw/thumb/f/f0/Morta_shibiri_wanda.png/640px-Morta_shibiri_wanda.png&w=640&q=50)
Wanda
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kwa dhana ya jiometri na hisabati, angalia makala ya Pandeolwa
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/2/29/Fingerbreite.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/sw/thumb/f/f0/Morta_shibiri_wanda.png/320px-Morta_shibiri_wanda.png)
Wanda (wingi: "nyanda") ni kipimo cha urefu kinacholingana na upana wa kidole kimoja au karibu inchi moja. Vipimo vya kufanana vilitumiwa katika nchi na tamaduni mbalimbali kwa kutumia upana wa kidole gumba.[1]
Ni kati ya vipimo asilia vya Kiswahili, si kipimo sanifu cha kisasa.