Wameru (Kenya)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Wameru ni kabila la watu wenye asili ya Kibantu wanaoishi maeneo ya Meru, Kenya.
Kwa lugha yao, wanajiita "Wangaa" kutokana na jina la mwanzilishi wa kabila lao.
Wana uhusiano wa karibu na Wakikuyu, Waembu, na Wambeere, kumbe ni tofauti kabisa na Wameru wa Tanzania.