Wakapuchini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Wakapuchini ni watawa Wafransisko wa Kanisa Katoliki.
Idadi yao inapita ndugu wanaume 10,000 duniani kote wakiongozwa na ndugu Mauro Jöhri wa kanda ya Uswisi. Ni shirika la kiume la nne kwa wingi wa watawa duniani.