Wafiadini wa Mar Saba (16 Mei)
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Wafiadini wa Mar Saba (walifia dini katika monasteri ya Mar Saba, leo nchini Palestina, 614) walikuwa wamonaki Wakristo 44 waliokatwa vipandevipande kwa ajili ya imani yao wakati wa uvamizi wa Waislamu[1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.