Visiwa vya mfereji wa Kiingereza
From Wikipedia, the free encyclopedia
Visiwa vya Mfereji wa Kiingereza ni funguvisiwa ya visiwa tisa katika Mfereji wa Kiingereza karibu na pwani la Ufaransa vyenye wakazi 160,000.
Visiwa vitano vikubwa ni:
Kiutawala vimegawiwa kwa sehemu mbili: eneo la Jersey na eneo la Guernsey lakini visiwa kadhaa vina kiasi kikubwa cha uhuru pekee vyao.