![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8f/Collage_Verona.jpg/640px-Collage_Verona.jpg&w=640&q=50)
Verona
From Wikipedia, the free encyclopedia
Verona ni mji wa Italia katika mkoa wa Veneto. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, kuna wakazi wapatao 265,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 59 juu ya usawa wa bahari.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8f/Collage_Verona.jpg/640px-Collage_Verona.jpg)
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Verona | |
Nchi | Italia |
---|---|
Mkoa | Veneto |
Wilaya | Verona |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 265,083 |
Tovuti: www.comune.verona.it/ |
Funga
Mji umo katika orodha ya urithi wa dunia ya UNESCO.