Uwanja wa Michezo wa Khalifa
uwanja wa michezo katika mji wa Doha, Qatar From Wikipedia, the free encyclopedia
uwanja wa michezo katika mji wa Doha, Qatar From Wikipedia, the free encyclopedia
Uwanja wa Kimataifa wa Khalifa (kwa Kiarabu: ملعب خليفة الدولي), pia unajulikana kama Uwanja wa Taifa, ni uwanja unaotumika kwa matumizi mbalimbali katika mji wa Doha nchini Qatar, kama sehemu ya michezo ya mji wa Doha kama vile Aspire Academy.[1] Umepewa jina la Khalifa bin Hamad Al Thani, amiri wa zamani wa nchini Qatar. Fainali ya mwaka 2011 ya Kombe la Asia Afc ilichezwa katika uwanja huu. Uwanja huu umeajiri wafanyakazi wapatao 30,000.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.