Usimoni
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Usimoni ni dhambi ya kuuza au kununua vitu vitakatifu au nafasi ya uongozi katika Kanisa kama alivyotaka kufanya Simoni Mchawi kadiri ya Matendo ya Mitume (8:9-24).
Dhambi hiyo imelaumiwa kuanzia karne ya 5 lakini ilizidi kutokea katika karne ya 9 na ya 10[1].
Hadi leo Sheria za Kanisa zinakabili tatizo hilo kwa kubatilisha uteuzi na kuadhibu wahusika[2].
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.