![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/31/Nicaea_icon.jpg/640px-Nicaea_icon.jpg&w=640&q=50)
Kanuni ya Imani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kanuni ya imani, au Ungamo la imani, au Tamko la imani, au Nasadiki (Ukristo) au Shahada (Uislamu) ni fomula iliyopangwa kwa muhtasari ili wafuasi wa dini fulani wakiri kwamba wanaamini mafundisho ya dini hiyo.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/31/Nicaea_icon.jpg/640px-Nicaea_icon.jpg)