Ugonjwa wa kuambukiza
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ugonjwa wa kuambukiza (kwa Kiingereza infectious disease) ni ugonjwa wowote unaosababishwa na ambukizo, yaani kuingia na kuenea kwa pathojeni kama bakteria, virusi au fungi katika mwili. Wanadamu, wanyama na pia mimea wanaweza kuambukizwa na pathojeni hizi.