![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8f/Mole_Antonelliana_17_marzo.jpg/640px-Mole_Antonelliana_17_marzo.jpg&w=640&q=50)
Torino
From Wikipedia, the free encyclopedia
Torino ni mji wa Italia katika mkoa wa Piemonte. Ndio makao makuu ya mkoa.
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Mji wa Torino | |||
| |||
Nchi | Italia | ||
---|---|---|---|
Mkoa | Piemonte | ||
Mkoa | Torino | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 892 649 | ||
Tovuti: www.comune.torino.it |
Funga
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka 2015, mji una wakazi wapatao 892,649 wanaoishi katika mji huu[1]. Mji upo m 240 kutoka juu ya usawa wa bahari.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8f/Mole_Antonelliana_17_marzo.jpg/640px-Mole_Antonelliana_17_marzo.jpg)