From Wikipedia, the free encyclopedia
Tasnifu (Kiingereza thesis, dissertation) [1] ni maandiko ya kitaaluma yanayochanganua mada maalumu kwa ajili ya kupata shahada ya juu.
Hutolewa pale ambapo msomi analenga digrii ya kitaaluma akiwasilisha utafiti na matokeo yake. [2]
Katika miktadha mingine, neno "tasnifu" hutumiwa pia kwa kazi kubwa ya kimaandishi iliyo sehemu ya shahada ya awali au ya uzamili, lakini kwa kawaida hutumiwa kwa uzamivu.[3]
Ugumu au ubora wa utafiti unaohitajika kwa tasnifu inaweza kutofautiana na nchi, chuo kikuu, au somo.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.