Tanga
From Wikipedia, the free encyclopedia
Tanga ni jina la:
- Mkoa wa Tanga katika Tanzania
- Wilaya ya Tanga, Tanzania
- Mji wa Tanga, Tanzania
- Tanga (Songea) - kata ya mkoa wa Ruvuma, Tanzania
- Tanga (chombo), kitambaa kikubwa kinachokingamishwa kwenye mlingoti wa jahazi
- Tanga (pesa), sarafu ndogo ya Tajikistan (100 Tanga = 1 Rubel)
- Tanga (nguo), aina ya chupi za wakinamama zinazohitaji kitambaa kidogo sana
- Tanga (kundinyota)
- Tanga (filamu) ya Kibrazili yenye jina la kisiwa kidogo
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana
Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja. |