![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/76/Greco%252C_El_-_Sts_Peter_and_Paul.jpg/640px-Greco%252C_El_-_Sts_Peter_and_Paul.jpg&w=640&q=50)
Mitume Petro na Paulo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Sherehe ya Mitume Petro na Paulo ni sikukuu ya fahari kwa heshima ya kifodini cha watakatifu hao kilichotokea mjini Roma katika miaka ya 60 BK kutokana na dhuluma dhidi ya Wakristo ambayo ilianzishwa na Kaisari Nero mwaka 64 na kuendelea hadi alipojiua mwaka 68.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/76/Greco%2C_El_-_Sts_Peter_and_Paul.jpg/640px-Greco%2C_El_-_Sts_Peter_and_Paul.jpg)