Sentola
From Wikipedia, the free encyclopedia
Sentola (Toledo, Hispania, karne ya 3 - Burgos, Hispania, 304) alikuwa msichana Mkristo aliyeuawa kwa imani yake katika dhuluma ya kaisari Masimino.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[2].