Saul Henry Amon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Saul Henry Amon (amezaliwa 10 Januari 1960) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Rungwe kwa mwaka 2015 – 2020. [1]
Saul Henry Amon (amezaliwa 10 Januari 1960) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Rungwe kwa mwaka 2015 – 2020. [1]