From Wikipedia, the free encyclopedia
Samson Kagengo Ongeri ni mwanasiasa wa Kenya na Mbunge katika Bunge la Kenya.
Yeye ni mwanachama wa Chama cha KANU
Alichaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2007[1] kuwakilisha Jimbo la Nyaribari Masaba kwa tiketi ya Chama cha KANU
Profesa Ongeri amekuwa Waziri wa Elimu tangu 2007. Profesa Ongeri pia amewahi kuhudumu kama mwenyekiti wa Shirikisho la Riadha nchini Kenya tangu 1974 hadi 1984. [2].
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.