![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/92/Saint-Denis_%2540_La_R%25C3%25A9union.jpg/640px-Saint-Denis_%2540_La_R%25C3%25A9union.jpg&w=640&q=50)
Réunion
département ya Ufaransa / From Wikipedia, the free encyclopedia
Réunion (kwa Kifaransa: La Réunion) ni kisiwa cha Afrika na mkoa wa ng'ambo wa Ufaransa (kwa Kifaransa: département d'outre-mer, au DOM) katika Bahari Hindi. Kisheria hali yake ni sawa na mikoa mingine ya Ufaransa hivyo ni pia sehemu ya Umoja wa Ulaya.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/92/Saint-Denis_%40_La_R%C3%A9union.jpg/640px-Saint-Denis_%40_La_R%C3%A9union.jpg)
Région Réunion | |
---|---|
![]() |
![]() |
Jina la Kifaransa | Région Réunion |
Jina la kawaida | Reunion |
Mji Mkuu | Saint-Denis |
Eneo | 2,512 km² |
Mkuu wa Mkoa | Didier Robert (UMP) (tangu 2016) |
Idadi ya wakazi | 706,300 |
Sensa ya mwaka | 1999 |
Wakazi kwa km² | 309 |
Wilaya (arrondissements) | 4 |
Ramani Reunion na Ufaransa bara | ![]() |