![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/0c/Pimpinellrosor.jpg/640px-Pimpinellrosor.jpg&w=640&q=50)
Mwaridi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mwaridi ni mti, kichaka au mtambaa wenye miiba na maua yanukiayo vizuri. Kwa asili jina hili limetumika kwa Rosa x damascena, lakini siku hizi hutumika kwa spishi zote za jenasi Rosa. Jenasi hii ni jenasi-mfano ya familia Rosaceae. Maua huitwa mawaridi au halwaridi.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mwaridi (Rosa spp.) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Mwaridi | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Funga