From Wikipedia, the free encyclopedia
18°49′N 112°46′W18°49′N 112°46′W
Revillagigedo ni funguvisiwa lenye asili ya volikano katika bahari ya Pasifiki maarufu katika biolojia na ekolojia.
Ni sehemu ya jimbo la Colima, lakini chini ya serikali kuu ya Meksiko.
Mnamo Julai 2016 Revillagigedo imeorodheshwa na UNESCO kama urithi wa dunia,[1] na mnamo Novemba 2017 imefanywa hifadhi ya taifa.
Eneo lote ni km2 157.81. Wakazi ni 50 hivi.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.