From Wikipedia, the free encyclopedia
Daa, choo au mwata ni wanyama wa bahari (spishi kadhaa kwenye maji matamu na nchi kavu) ya ngeli Polychaeta ya faila Annelida (anelidi). Spishi nyingi sana huishi katika mashapo ya sakafu ya bahari au matope ya maziwa na mabwawa, na spishi zinazoishi karibu na pwani hutumika kama chambo cha kuvulia samaki. Spishi nyingine huogelea huru majini na kadhaa zinatokea katika maeneo manyevu ya nchi kavu. Spishi zinazotumika kama chambo huitwa daa kwa kawaida, lakini inapendekezwa kutumia jina hili kwa spishi zote za Polychaeta.
Daa | ||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Daa-damu kutoka Ulaya (Marphysa sanguinea) | ||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||
| ||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||
Nusungeli 4:
| ||||||||||
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.