Penseli
From Wikipedia, the free encyclopedia
Penseli (kutoka Kiingereza: pencil) ni kifaa cha kuandikia au kuchorea kinachofanywa na kiini thabiti cha grafati au mata nyingine yenye pigmenti kilichopo ndani ya gamba linalokinga kiini kisivunjike.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/13/Bleistift_halbiert_02.jpg/640px-Bleistift_halbiert_02.jpg)
Penseli inachora kwa kuacha alama za vipande vidogo vya kiini chake kwenye karatasi au uso mwingine unapokandamizwa juu yake.
Penseli ni tofauti na kalamu zinazotoa wino kwenye karatasi.