![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/32/Lamu_Pate_Map.jpg/640px-Lamu_Pate_Map.jpg&w=640&q=50)
Pate
From Wikipedia, the free encyclopedia
Pate ni kisiwa kikubwa cha funguvisiwa la Lamu mbele ya pwani ya Kenya katika Bahari Hindi. Pate ni kisiwa ambacho ni karibu na Somalia.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/32/Lamu_Pate_Map.jpg/640px-Lamu_Pate_Map.jpg)
Wakati ya maji kujaa Pate inagawanywa katika sehemu mbili kwa mtaro wa bahari karibu na Siyu; wakati wa maji kupwa mtaro huwa pakavu.