Mfanyabiashara
ukarasa wa maana wa Wikimedia From Wikipedia, the free encyclopedia
Mfanyabiashara ni mtu ambaye anajihusisha na shughuli za kuuza na kununua bidhaa kwa lengo la kupata faida ili kuweza kujiinua au kupata maendeleo ya kiuchumi [1].

Mjasiriamali ni mfano mzuri wa mfanyabiashara.
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.