Mfanyabiashara

ukarasa wa maana wa Wikimedia From Wikipedia, the free encyclopedia

Mfanyabiashara

Mfanyabiashara ni mtu ambaye anajihusisha na shughuli za kuuza na kununua bidhaa kwa lengo la kupata faida ili kuweza kujiinua au kupata maendeleo ya kiuchumi [1].

Thumb
Mfanyabiashara akimhudumia mteja.

Mjasiriamali ni mfano mzuri wa mfanyabiashara.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.