Papa Yohane X alikuwa Papa kuanzia Machi/Aprili 914 hadi Mei/Juni 928 alipofungwa na watawala wa mji wa Roma. Alifariki kifungoni mwaka uleule au 929[1]. Alitokea Tossignano, Imola, Italia[2].
Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Yohane.
Alimfuata Papa Lando akafuatwa na Papa Leo VI.
Tazama pia
Maandishi yake
- Opera Omnia kadiri ya Migne katika Patrologia Latina pamoja na faharasa
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.