Papa Yohane X alikuwa Papa kuanzia Machi/Aprili 914 hadi Mei/Juni 928 alipofungwa na watawala wa mji wa Roma. Alifariki kifungoni mwaka uleule au 929[1]. Alitokea Tossignano, Imola, Italia[2].

Thumb
Papa Yohane X.

Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Yohane.

Alimfuata Papa Lando akafuatwa na Papa Leo VI.

Tazama pia

Maandishi yake

Tanbihi

Viungo vya nje

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.